Shida Yako ya Kifedha Inaanzia Hapa…Shida Yako ya Kifedha Inaanzia Hapa…
💰 Wengi wetu tunahangaika kila mwezi tukisema fedha hazitoshi 😔. Lakini ukikaa chini ukahesabu kiasi cha pesa kilichopita mikononi mwako kwa miaka iliyopita, utashangaa — ungeweza kuwa mbali sana leo. Tatizo si kukosa fedha, tatizo ni kutozijua kuzitawala. 📉 Fedha zako zimeenda wapi? Umekuwa ukilipa kila mtu — kodi, matumizi, [...]
