Category: Uncategorized

Unaweza Kutengeneza Dunia Ya Kwako.Unaweza Kutengeneza Dunia Ya Kwako.

Unavyoiona dunia unaweza kushawishika kuwa kila mtu ndivyo aionavyo. Ukitazama dunia utaona ina mambo au vitu fulani ambavyo haviko sawa. Unaweza kuhitimisha kuwa ndivyo dunia ilivyo. Ukiangalia hali ya uchumi unaweza kufikri kabisa kuwa dunia haina usawa, kwa nini kuna watu matajiri sana wakati wengine ni masikini sana? Ukiangalia dunia [...]

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kukivuta Kitu Kinachoonekana Kuwa Mbali Na Kukiweka Mikononi Mwako.Hivi Ndivyo Unavyoweza Kukivuta Kitu Kinachoonekana Kuwa Mbali Na Kukiweka Mikononi Mwako.

Kila mtu ana vitu anavyovitamani kuwa navyo maishani mwake. Vitu hivyo ni vya kila eneo la maisha yake. Licha ya tamaa hiyo lakini watu wengi wameishia kutamani bila kufanikiwa kuvipata katika maisha yao.  Lakini wapo wachache ambao huwa wanafanikiwa kuvipata vitu hivyo. Nini huwa wanafanya ili kupata vitu wanavyovipenda? Leo [...]

Huwezi Kung’aa Kwa Kupaka Mafuta Taswira Yako Unayoina Mbele Ya Kioo.Huwezi Kung’aa Kwa Kupaka Mafuta Taswira Yako Unayoina Mbele Ya Kioo.

Ukisimama mbele ya kioo cha kujitazamia utajioni jinsi ulivyo. Hata chochote utakacho kuwa unafanya wewe, taswira yako pia itakuwa inakifanya. Ukitabasamu na taswira yako itatabasamu, ukinuna kadhalika taswira yako itanuna. Kwa hiyo chochote utakachokuwa unafanya wewe na taswira yako itaitikia. Lakini kitu cha ajabu ni kuwa ni taswira itakayokuwa inakuitikia [...]

Nini Kilichobaki  Baada Ya Kusahau Kile Ulichojifunza Shuleni?Nini Kilichobaki  Baada Ya Kusahau Kile Ulichojifunza Shuleni?

Maisha yako huendeshwa na kile unachokifahamu. Unachokifahamu ndiyo  kinakuwa mwongozo wa wewe ufanye nini. Mawazo anayoyawaza mtu pia hutegemea zaidi na kile kilichotawala fikra zake. Kadhalika maamuzi anayoyatoa mtu hutegemea na kile anachokifahamu kwa kuona kitaleta matokeo bora. Kumbe hatua za maisha ulizofikia ni matokeo ya kile unachokifahamu na kukitumia [...]

SEMINA! SEMINA!   ISHI MWAKA 2022 KWA MAFANIKIO MAKUBWA.SEMINA! SEMINA!   ISHI MWAKA 2022 KWA MAFANIKIO MAKUBWA.

MADA:   JINSI YA KUAMSHA UWEZO WAKO ILI KUTIMIZA KIKAMILIFU  MALENGO YAKO Je umekuwa ukianza mwaka kwa shangwe na hamasa kubwa lakini unaumaliza kwa unyonge mkubwa? Dawa imepatikana ya kuuishi mwaka huu kwa mafanikio makubwa. Mtandao wa Amsha Uwezo umekuandalia semina itakayokuwezesha kuishi mwaka 2022 na miaka inayofuata kwa ushindi mkubwa. [...]

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuunguza Changamoto Zako Na Kupata Kile Ulichokitafuta Kwa Muda Mrefu Bila Mafanikio.Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuunguza Changamoto Zako Na Kupata Kile Ulichokitafuta Kwa Muda Mrefu Bila Mafanikio.

Je wajua kuwa jua ndiyo chanzo kikuu cha nguvu hapa duniani? Nguvu unazozitumia kutembea zimetoka kwenye vyakula unavyokula ambavyo vimetokana na mimea ambayo nayo imepata nguvu kutoka kwenye jua. Kuni unazotumia kuivishia chakula au tofali zina nguvu ambazo zinatokana na jua. Kumbe siku jua likigoma kuwaka utakuwa mwisho wetu! Licha [...]

Usiahirishe Mpaka Kesho Kama Hutamani Ufe Kabla Hujalifanya Jambo Hilo.Usiahirishe Mpaka Kesho Kama Hutamani Ufe Kabla Hujalifanya Jambo Hilo.

Maisha ya mwanadamu ni muda. Ukishakufa muda wako wa maisha unasishia hapo. Mwanadamu upo hapa duniani kwa muda maalumu kukamilisha kazi maalumu. Ni kipindi cha uhai wako tu ndipo unaweza kutengeneza thamani yako hapa duniani ambayo itaendelea kukumbukwa hata baada ya kufa kwako. Muda wa maisha yako umegawanyika sehemu tatu, [...]

Wewe Ndiye Unayeweka Mipaka Kwenye Kiwango Cha Mafanikio Unachotaka.Wewe Ndiye Unayeweka Mipaka Kwenye Kiwango Cha Mafanikio Unachotaka.

Ukiiangalia bahari huwezi kuuona mwisho wake. Ukiwa umesimama sehemu ambayo haina vizuizi unaweza kudhani kuwa mwisho wa dunia upo pale lakini kadri unavyosogea ndivyo unavyoona mwisho huo unazidi kusogea pia na kutoweza kuufikia. Kumbe kuna vitu duniani ambavyo si rahisi kuufikia mwisho wake. Muonekano wa vitu hivyo ndivyo ulivyo kwenye [...]

Jinsi Usivyoweza Kutengenisha Mafanikio Na Maarifa.Jinsi Usivyoweza Kutengenisha Mafanikio Na Maarifa.

Mafanikio na maarifa tungeweza kusema ni kurwa na doto, yaani mama yao ni mmoja. Hivi ni vitu viwili usivyoweza kutenganisha. Mafanikio imekuwa hamu ya watu wengi, lakini wale ambao wamejaribu kuyaacha maarifa nyuma, wameshindwa kupata kile walichokitamani. Kwa kuyatenga mafanikio, wengi wamashindwa kuishi maisha wanayostahili. Hata mafanikio hayo ambayo  mtu [...]