Category: Uncategorized

Njia Tano(5) Za Kutoka Kwenye Uvuguvugu Na Kuwa Mtu Wa Moto.Njia Tano(5) Za Kutoka Kwenye Uvuguvugu Na Kuwa Mtu Wa Moto.

Naamini umekutana mara nyingi na maji ya vuguvugu. Licha ya kuwa na umotomoto kwa mbali, lakini maji hayo huwa yanakuwa hayana maajabu yoyote kwani hata ukiweka mkono wako kwa muda mrefu huwezi kuungua. Pia huwezi kutumia maji hayo kupashia au kuivishia chakula. Kadhalika huwa inakuwa ni suala la muda mfupi [...]

Usikubali Kuzuiwa Na Vikwazo Hivi Vinne (04) Kwenye Safari Yako Ya Mafanikio.Usikubali Kuzuiwa Na Vikwazo Hivi Vinne (04) Kwenye Safari Yako Ya Mafanikio.

Maji yanayopita juu ya ardhi huhangaika kutafuta njia ya kupita kila wakati. Ikitokea yamezuiwa kushoto yatahamia kulia. Yakizuiwa kushoto na kufanya yasimame, kuna mengine yatashuka ardhini wakati mengine yakipanda angani kama mvuke. Safari ya maji inafananishwa na safari yako ya mafanikio. Umeweka mipango mingi iliyo mizuri kwa ajili ya utekelezaji. [...]

Unataka maziwa! Mwaga kwanza chai ya rangi iliyopo kwenye kikombe chakoUnataka maziwa! Mwaga kwanza chai ya rangi iliyopo kwenye kikombe chako

Kama una kikombe ulichojaza chai ya rangi na ikatokea unataka maziwa, haiwezekani ukatumia kikombe hicho kunywea mziwa. Itakupasa kumwaga kwanza chai iliyopo kwenye kikombe hicho ili upate nafasi ya kumimina maziwa. Utaratibu huu umekuwa tofauti kwenye maisha ya watu kwani wametaka kuvinywa vyote kwa wakati mmoja kwa kutumia kikombe kilekile. [...]

Ulizaliwa na zawadi, je umeshaipa dunia?Ulizaliwa na zawadi, je umeshaipa dunia?

Mbegu za matunda zikishamea zinakua na kuwa miti inayotoa matunda na hii inakuwa zawadi kwa dunia. Nyuki walikuja duniani walijua zawadi waliyoibeba wakaanza kutafuta inta za maua na kutengeneza asali ambayo inapendwa sana na watu kwa utamu wake. Kadhalika jua lilipogundua lililochobeba limekuwa likiwaka kila siku kuipa dunia nguvu na [...]

Bahari Haijawahi Kuishiwa Samaki Lakini Si Rahisi Kuwaona Samaki Hao JangwaniBahari Haijawahi Kuishiwa Samaki Lakini Si Rahisi Kuwaona Samaki Hao Jangwani

Wavuvi wamekuwa wakiwavua samaki miaka nenda rudi huku samaki hao wakiliwa na binadamu kila siku lakini hujawahi kusikia bahari hiyo imeishiwa samaki. Kuna wavuvi wameanza kuvua samaki hao tangu ujanani mpaka sasa ni wazee bila ya kuacha kazi hiyo kwani kila siku wanapata samaki. Kadhalika hata kama shamba litachomwa moto [...]

Hangaika Na Kutoa Thamani, Mafanikio Yatakuja Yenyewe TuHangaika Na Kutoa Thamani, Mafanikio Yatakuja Yenyewe Tu

Nyuki huwa hahangaiki kujua kama maeneo ya jirani kuna mrina asali ndipo aanze kutengeneza asali, bali yeye muda wote yupo ‘busy’ kutafuta mali ghafi kwa ajili ya kutengeneza asali iliyo tamu sana. Lakini kwa kujua thamani ya asali hiyo, mrinaji huwatafuta nyuki na asali ilipo. Kadhalika ng’ombe huwa hasubiri mpaka [...]

Kwa Nini Umechoka Ungali Huna Matokeo?Kwa Nini Umechoka Ungali Huna Matokeo?

Mtoto mdogo huamka asubuhi akiwa hajui siku hiyo atafanya nini. Hivyo akiachiwa ataanza kugusa na kufanya chochote kitakachokuja mbele yake. Mpaka jioni inafika, mlezi akiulizwa mtoto amefanya nini leo, ni vigumu kueleza ni kitu gani hasa mtoto amefanya. Hii ni kwa sababu ya uwingi wa vitu ambavyo mtoto anavifanya tangu [...]

Kikuze hicho ulichonachoKikuze hicho ulichonacho

Kama umeisimama na ukanyoosha mkono wako, utagusa kimo fulani kifupi. Lakini ukiweka nguvu kwenye miguu na kuruka juu hata kama ni kidogo tu, mikono yako itagusa juu zaidi ya pale ulipokuwa umegusa hali ukiwa umesimama tu. Ukitafuta ngazi na kutumia kupanda, utafika mbali zaidi na kugusa juu zaidi ya pale [...]

Kwa nini uendelee kufanya licha ya kushindwa mara nyingi?Kwa nini uendelee kufanya licha ya kushindwa mara nyingi?

Licha ya kila mtu kutamani kuwa na mafanikio, lakini ni wachache sana wameweza kupata mafanikio makubwa katika maisha yao. Hii inaashiria kuwa safari ya mafanikio siyo rahisi, ina kupasa kuvuka mabonde na milima. Ina changamoto ambazo inabidi uzifanyie kazi ndipo uweze kufika mwisho wenye mafanikio. Wanaofanikiwa wana tabia ambazo zinawafanya [...]

Maswali yatakayokupeleka kwenye mafanikio makubwaMaswali yatakayokupeleka kwenye mafanikio makubwa

Licha ya mafanikio kuwa na maana tofauti kwa watu mbalimbali, lakini kila mtu ana tamaa ya kuwa na mafanikio makubwa. Kila mtu amekuwa akitamani vitu fulani vitokee katika maisha yake. Tamaa ya mafanikio hayo inaweza kuwa kupata mali,fedha, elimu au umaarufu fulani. Mafanaikio makubwa anayoyatamani mtu yanapatikana kwa kujiuliza maswali [...]