Hivi Ndivyo Unavyoweza Kubadilika Kisha Kufanikiwa…Hivi Ndivyo Unavyoweza Kubadilika Kisha Kufanikiwa…
Mafanikio ni siri na wengi hawazifahamu ndiyo maana hawafanikiwi. Je utajisikiaje kama leo nitakuambia siri moja kubwa ya kupata mafanikio maishani mwako? …naamini utajisikia vizuri… Siri hii imeainishwa na nukuu ya John C. Maxwell inayosema “You’ll never change your life until you change something you do daily. The secret of [...]
Fedha Unazozitafuta Zimejificha Hapa. Hata Sasa Unaweza Kuanza Kuzitengeneza.Fedha Unazozitafuta Zimejificha Hapa. Hata Sasa Unaweza Kuanza Kuzitengeneza.
Unatafuta fedha kwa nguvu kubwa lakini huzioni au unaziona kidogo tu. Unajiuliza fedha zimejificha wapi? Kuna wakati umehisi fedha zimeitoroka dunia. Lakini hakuna fedha iliyoiacha dunia. Kuna maeneo mengi ambako fedha yako imejificha. Leo nitakushirikisha eneo moja ambalo lipo karibu sana nawe ili uanze kuitengeneza fedha hiyo. Fedha imejificha kwenye [...]
95% Ya Mafanikio Yako Imejificha Hapa…..95% Ya Mafanikio Yako Imejificha Hapa…..
Kama kuna siri kubwa inatafutwa hapa duniani, basi ni siri ya mafanikio. Hii ni siri ambayo umeitafuta kwa muda mrefu sasa bila mafanikio. Ungeifahamu siri hii tangu siku nyingi ungekuwa umeshafika mbalia sana. Lakini kuna methali ya kichina inasema muda wa kupanda mti wa kivuli ilikuwa miaka 20 iliyopita, lakini [...]
Je Unataka Matokeo Ya Utofauti Maishani Mwako? Basi Fanya Hivi….Je Unataka Matokeo Ya Utofauti Maishani Mwako? Basi Fanya Hivi….
Kuna mazingira uliyoyazoea ndiyo yaliyoyaweka jela maisha yako. Miaka mingi inapita lakini bado upo palepale. Umetafuta mchawi wa maisha yako, ukampata jirani. Lakini maisha yako yapo palepale. Hali ya kifedha, mahusiano, biashara, uwekezaji…..imebaki palepale. Unataka kukata tamaa ukiamini wewe huna bahati maishani mwako. Nakuhakikishia kuwa hutapata matokeo ya utofauti mpaka [...]
Kuwa Na Vitu Hivi Viwili, Fedha Zitakufuata Ulipo.Kuwa Na Vitu Hivi Viwili, Fedha Zitakufuata Ulipo.
Je Unataka Fedha Zitiririke Kuja Kwako? Kama kuna kitu ambacho mtu anatamani akipate kwa wingi, basi ni fedha. Lakini kama kuna kitu ambacho watu wanakipata kwa uchache basi ni fedha. Fedha zimejificha wapi? Kwenye makala iliyopita tuliona kuwa hakuna fedha iliyoitoroka dunia na kwenda sayari nyingine. Fedha zote zipo hapahapa [...]
Huko Ndiko Fedha Zako Zilikojificha!Huko Ndiko Fedha Zako Zilikojificha!
Rafiki! Kama umekuwa ukijiambia fedha ni ngumu, fedha adimu, vyuma vimekaza, hii ni dalili kuwa fedha haikufikii kirahisi . Kuna muda umefikiri kuwa labda kuna fedha ambazo zimetorokea sayari nyingine ndiyo maana zimekuwa adimu kwako. Ukweli ni kuwa hakuna fedha iliyoiacha dunia, fedha zote zipo hapahapa duniani. Sehemu mojawapo fedha [...]
