Je Ungetamani Upendelewe Kufanikiwa? Inawezekana, Siri Ipo Hapa…Je Ungetamani Upendelewe Kufanikiwa? Inawezekana, Siri Ipo Hapa…
Kama itatokea kuna nafasi ya kupendelewa kufanikiwa kila mtu angetamani aipate nafasi hiyo. Kuna watu ambao mmekuwa pamoja kwa muda mrefu hata umri ukiendana, lakini wamepiga hatua kubwa za mafanikio mpaka unahisi wamependelewa. Najua unatamani sana kupata mafanikio makubwa kwenye kila eneo la maisha yako. Inawezekana muda unaenda lakini huoni [...]
Jifunze Kwa Tai Ufanikiwe SanaJifunze Kwa Tai Ufanikiwe Sana
TABIA 7/7; . Tai akifikisha miaka 40 hufanya maamuzi magumu sana ili kuendelea kuishi . [ ] Tai ana uwezo wa kuishi hata miaka 70 [ ] Lakini kwenye miaka 40 kucha zake huwa butu kuwinda, manyoya yake huwa mengi kushindwa kuruka;na mdomo wake huwa umepinda sana na butu kuwinda. [...]
Jifunze Kwa Tai Ufanikiwe Sana.Jifunze Kwa Tai Ufanikiwe Sana.
TABIA 6/7; Hutengeneza kiota chenye miiba ili kuwafunza watoto wao. [ ] Tai hutengeneza kiota chao sehemu ya juu sana ya miti ambako maadui hawafiki kirahisi. [ ] Kiota chao huanza na matawi makubwa chini, miiba, vimti vidogo, majani laini, manyoya kisha miiba pembeni. [ ] Ndipo jike hutaga mayai [...]
Jifunze Kwa Tai Ufanikiwe Sana.Jifunze Kwa Tai Ufanikiwe Sana.
TABIA 5/7; Tai jike humpima dume kabla ya kumkubalia. [ ] Tai jike humpa mtihani tai dume kabla ya kusema ndiyo.[ ] Mtihani huo huanza kwa tai jike kupanda juu sana mawinguni kisha kushuka chini kwa kasi. Dume hutakiwa kumfuata.[ ] Kisha tai jike huchukua tawi na kupanda nalo juu [...]
Jifunze Kwa Tai Ufanikiwe Sana.Jifunze Kwa Tai Ufanikiwe Sana.
TABIA 4/7; Tai akiona mawimbi ya mvua hujisukuma kupanda juu zaidi. [ ] Hutumia upepo kumsukuma juu zaidi [ ] Huona akijisukuma na kuwa juu zaidi ya mawingu na upepo; hatasumbuka tena. [ ] Akiwa juu ya mawingu ya mvua hujiachia na kuwa huru wakati ndege wengine waliopo chini wakipata [...]
Jifunze Kwa Tai Ufanikiwe Sana.Jifunze Kwa Tai Ufanikiwe Sana.
TABIA 1/7; Tai hupaa juu sana angani ambako kunguru na shomoro hawawezi kumfikia. [ ] Hufanya hivyo ili kunguru na shomoro wasizomee kama wanavyomfanyia mwewe. [ ] Tengeneza maono makubwa ili usiathiriwe na ukawaida. [ ] Jitenge na kelele za dunia, usije ukaambiwa huwezi kisha ukaamini. [ ] Kuwa ‘the [...]
Una Uhuru Wa Kuchagua, Umechagua Nini?Una Uhuru Wa Kuchagua, Umechagua Nini?
Kila kitu kinaanza kama wazo. Hivyo ulivyonavyo vimetokana na mawazo uliyotengeneza kisha matendo. Kumbe ukitaka kubadili maisha yako , anza kwa kubadili namna unavyowaza. Habari njema ni kuwa una uhuru wa nini ukiwaze na kubadili ulichokuwa unawaza. [ ] Umewaza kushindwa una uhuru wa kuanza kuwaza unaweza. [ ] Umekuwa [...]
