Endelea Kumwagilia; Huwezi Kuchuma Matunda Kwenye Mche.Endelea Kumwagilia; Huwezi Kuchuma Matunda Kwenye Mche.
Ili kuweza kupata matunda kutoka kwenye mti, mbegu yake huzikwa ardhini kisha kuota na kutoa mche. Mche wake huendelea kumwagiliwa ili uendelee kukua na kuwa mti kisha kuzaa matunda. Itakuwa ni ajabu mkulima huyo kuanza kuulaumu mche wa mti huo kwa kutokutoa matunda. Hii ni kwa sababu mkulima hujua ni [...]
